Baada ya kuwepo na tetesi nyingi san mtaani juu ya nani anafaa kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano yanayo fanyika kila mwaka ndani ya jumba kubwa la BBA{Big Brother Africa}.Leo limeanza kutimia mara baada ya mwanadada Wema Isaack Sepetu kuweza kuchukua form hio ndani ya ofisi za multi choice jijini kwa ajili ya mchakato wa BBA 2013.
No comments:
Post a Comment