Saturday, February 2, 2013

WEMA ACHUKUA FORM YA BBA 2013.

Baada ya kuwepo na tetesi nyingi san mtaani juu ya nani anafaa kuiwakilisha Tanzania kwenye mashindano yanayo fanyika kila mwaka ndani ya jumba kubwa la BBA{Big Brother Africa}.Leo limeanza kutimia mara baada ya mwanadada Wema Isaack Sepetu kuweza kuchukua form hio ndani ya ofisi za multi choice jijini kwa ajili ya mchakato wa BBA 2013.


No comments:

Post a Comment