Monday, February 11, 2013

CHRISS NA RIHANNA TENA.

Haya tena wagombanao siku zote ndio wapendanao,huu ni usemi ulio kwenye lugha yetu ya kiswahili na kupitia usemi huu tunaweza kuona hapo nyuma kidogo ni ugomvi uliokuepo baina ya wapendanao hawa Chriss brown na Rihanna ambapo Rihanna aliweza kupigwa na Chriss na kumsababishia majeraha kadhaa kwenye uso wake hali iliyopelekea Chriss kufikishwa mahakamani na kufungiwa kuonana na mwanadashosti huyo.
Hivi karibuni waliweza kurudiana na kua kama awali na kuonesha mapenzi yao hadharani,haya yamejiri hapo jana kwenye tuzo za Grammy huko Marekani ambao wapendanao hawa walikua kwenye pozi mbali mbali kama zinavoonekana hapa chini kwenye picha za walimbwende hawa.
Chriss & Rihana










Thanks Sam Misago kwa picha hizi.






No comments:

Post a Comment