Monday, February 4, 2013

NEEMA WA 20% AWEKEWA MENO YA BANDIA.

Asifa Omary alimaarufu Neema wa 20%,Ni msanii aliye igiza kwenye filamu ambato alijizolea umaarufu kwenye filamu ya ''furaha iko wapi 20%''ambayo aliigiza kama NEEMA.Hivi karibuni amewekewa meno matano ya bandia kutokana na kung'oka kwa meno hayo mara baada zya kuanguka na usafiri maarufu wa mjini ambao uko fasta kama vijana wa mjini wanavosema boda boda.
Alianguka akiwa na kijana mmoja aliejulikana kwa jina la Abdukarim Ally ambae yeye aliweza kuumia juu ya jicho na kupasuka.Wote wamelazwa huku kila mmoja akiwa ameumia na akiwa na maumivu yake.
huyu ndio Neema mwenyewe
akiwa anaugulia maumivu.
Abdukarim Ally.


No comments:

Post a Comment