Friday, February 15, 2013

RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH.JAKAYA MRISHO KIKWETE AKITOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO NA KUSAINI KWENYE KITABU CHA MAOMBOLEZO,KWENYE MSIBA WA ASKOFU THOMAS O. LAIZAR.

Rais ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Jakaya Mrisho Kikwete akitoa salamu zake za mwisho kwa askofu Thomas O. Laizar kwenye Dayosisi ya Kaskazini Kati la kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) leo,kwenye kanisa la KKKT Arusha mjini.
Raisi Jkaya Mrisho Kikwete akiwafariji wanafamilia ya marehemu Askofu Thomas O. Laizar
Raisi Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kwenye kitabu cha maombolezo ya Askofu Thomas Laizar. 
(Picha zote na Fredy wa Ikulu)




No comments:

Post a Comment