Habari zilizotufikia jana jioni ni kwamba kuna Ajali iliyotokea saa 11.Watoto saba,Dreva na mama mmoja wa kimasaai na watoto wake wote wamefariki dunia.Wanafunzi 7 waliofariki wakilikuwa wamepanda gari(lift) wakitokea shule Chalinze sekondari wakielekea maneo ya Mdaula.
Gari walilopata lift linanamba za usajili hizi T363 AZG ,Tutawaletea picha za jali hivi punde.
No comments:
Post a Comment