Friday, February 15, 2013

M4C YAWAFIKIA WAGONJWA MWANANYAMALA.

Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ,leo kimefanya maadhimisho ya siku ya wapendanao alimaarufu Valentine Day kwa kuwatembelea wagonjwa walioko kwenye hospital ya mwananyamala ilioko Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.Matembezi hayo yaliongozwa na Madiwani,viongozi na wanachama wa chama hicho.
Katika matembezi hayo waliweza kufanya usafi ikiwemo kufyeka,kufagia,kuchoma takataka moto na pia kupata changamoto wazipatazo wagonjwa pamoja na wauguzi.















wagonjwa waliogawiwa juice na maji pamoja na mikate kutoka kwa wanachama na viongozi wa CHADEMA.

wanachama wakiwa kwenye moja ya majukumu.

baadhi ya wauguzi waliokuepo zamu.













No comments:

Post a Comment