Katika matembezi hayo waliweza kufanya usafi ikiwemo kufyeka,kufagia,kuchoma takataka moto na pia kupata changamoto wazipatazo wagonjwa pamoja na wauguzi.
wagonjwa waliogawiwa juice na maji pamoja na mikate kutoka kwa wanachama na viongozi wa CHADEMA.
wanachama wakiwa kwenye moja ya majukumu.
baadhi ya wauguzi waliokuepo zamu.
No comments:
Post a Comment