Monday, February 4, 2013

MWANAMKE MFUPI NA MWANAUME MFUPI DUNIANI HAWA HAPA.

Kutoka nchini India mwanafunzi Joyti Amge ameweza kuingia kwenye kitabu cha rekodi za dunia mara baada ya kujulikana kua yeye ndo mfupi kuliko wote kwa kuweza kua na urefu wa sentimeta 62.8 akiwa ameshika rekodi kwa upande wa wanawake na kwa wanaume nafasi hio iliweza kushikwa na Chandra Bahadur Dungy kutoka Nepal.Chandra mwenye miaka 72 ana urefu wa sentimeta 54.6
Chandra & Joyti.

No comments:

Post a Comment