Monday, February 4, 2013

VALENTINE'S SPECIAL NA BEN POL & LINNAH

Ule usiku wa Valentine's Day uliokua unatazamiwa kua ni usiku wa wasanii Ben pol & Linnah ambao ulitakiwa kufanyika kwenye viwanja vya Jangwani Sea Breeze Alhamisi tarehe 14/02/2013 sasa itafanyika Nyumbani Lounge.
Waandaaji wa show hio,Keys Production  wameitaarifu Mautundu supplyer kwamba show hio imehamishiwa ''Nyumbani'' kutokana kwamba wanataka kila mpenda Burudani aweze kufika na kushuhudia kinachofanyika pale huku akiwa na Valentine wake ndani ya mng'aro.Aidha show wameiboresha baada ya kumuongeza Kassim Mganga na T.I.D.

No comments:

Post a Comment