Friday, February 15, 2013

MBUNGE SHAROBARO MIKE SONKO NDANI YA VAZI LA VALENTINE'S DAY.

The swaggalicious Politician kutoka Kenya Gideon Mbuvi k.p.a Mike Sonko alivoisheherekea siku ya wapendanao ''valentine's day'' na kuiweka Hammer yake kwenye staili yake kama hivi.



Wakati wa siku hii ya wapendanao,watu wengi wakionesha upendo wao kwa wale wawapendao aidha wapenzi,baba,mama,dada,kaka ama hata rafiki kikubwa na cha msingi ni kumuonesha upendo.Kwa ndugu Mike Songo aliweza kuitumia kwa kupiga kampani kwa ajili ya u-senetor wa jiji la Nairobi na kuamua kuwaonesha wapiga kura wake kua anawapenda sana na anahitaji kura zao sanaaaaaa.
Mike Sonko.

No comments:

Post a Comment