Sunday, February 3, 2013

BREAKING NEWS PPF TOWER YAWAKA MOTO.

Hili ndo jengo la PPF TOWER lililoko maeneo ya posta kwenye barabara ya OHAYO likionekana katika picha huku likifuka moshi .Moto huo umeonekana hasa ukiwaka kwenye ghorofa ya juu kabisa.
Watu wa zima moto wameshafika na wanaendelea na zoezi hilo na chanzo cha moto huo hakijajulikana ni nini.Ki ukweli zoezi hili ni gumu hasa kwa zima moto kutokana na urefu wa jengo lenyewe.taarifa zinazoendelea juu ya moto huo utazipata hapahapa,endelea kua nasi.


No comments:

Post a Comment