Saturday, February 2, 2013

VALENTINE'S DAY HIIIO UNASEMAJE JUU YA HUU UHUSIANO??

Mahusiano ya Mwanamuziki Naseeb Abdul alimaarufu Diamond na msanii wa filamu nchini Tanzania Wema Isaack Sepetu,unaweza kuyaongeleaje kwa maana kwamba uliyachukuliaje kwa jinsi walivokua wakiishi hapo awali kabla ya kuatengana kutokana na mambo ya hapa na pale hususani katika swala la mapenzi haya mabo hua yapo tu.
Hivo sema chochote kuhusu haya mahusiano ya wema na diamond hasa katika kuelekea siku ya wapendanao duniani ama kwa jina la VALENTINE'S DAY kwa wengi tunavoifahamu.

Diamond & Wema 

1 comment: