Sunday, February 3, 2013

KAMA SHABIKI WA KIGOMA ALL STARS HII INAKUHUSU.

Haya tena kwa wapenzi wa Kigoma all stars,sasa wanaandaa wimbo wao mpya utakaokujia hivi karibuni yote ni muendelezo wa ngoma kali mara baada ya kutamba na LEKA DUTIGITE sasa waja na ngoma yao mpya iitwayo NYUMBANI.
Kama ilivokua kwenye ngoma yao ya kwanza sasa waja kama awali tena na mjumuiko ule ule wa Linex,Baba Levo,Diamond,Chege,Queen Darling,Recho,Mwasiti,Ally kiba,Makomando,Ommy Dimponz n.k.kwenye ngoma hii inayoandaliwa na producer alieitengeneza ile ya awali ya Leka dutigite na ndio anaitengeneza na hii pia huyu si mwingine ila ni TUDDY THOMAS ndani ya NGOMA RECORD.
All the best KIGOMA ALL STARS.

No comments:

Post a Comment