MAKUSANYO YA MAPATO KWA MWAKA 2015/2016
July 05 2016 Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa taarifa ya makusanyo ya mwezi June ambao ni mwezi unaofunga mwaka wa fedha 2015/2016. Kwa mwezi June pekee TRA imekusanya trilioni 1.4 na kwa mwaka wa fedha 2015/2016 wamekusanya zaidi ya trilioni 13.3 na kufikia lengo la makusanyo kwa mwaka huo la trilioni 13.36.
No comments:
Post a Comment