Baada
ya kumsikia Witnesz jana katika kipindi cha Planet Bongo akikanusha juu
ya uvumi kuwa hawezi kupata mtoto tena, staa huyo pamoja na mpenzi wake
Ochu Sheggy wamefunguka juu ya ndoa yao hiyo.
msanii wa muziki wa bongofleva Witnesz akiwa na mchumba wake Ochu Sheggy
Witnesz amesema kuwa, kwa muda waliokaa pamoja mpaka sasa, kisheria wao ni kama mume na mke.
Diva huyo mkali wa michano ameeleza pia, kuhusiana na tukio la kufunga ndoa lenyewe linalotambulika kijamii, bado anamsubiri mumewe Ochu kuchukua hatua hiyo kutokana na kuwa yeye ndio muoaji.
Diva huyo mkali wa michano ameeleza pia, kuhusiana na tukio la kufunga ndoa lenyewe linalotambulika kijamii, bado anamsubiri mumewe Ochu kuchukua hatua hiyo kutokana na kuwa yeye ndio muoaji.
No comments:
Post a Comment