Baada ya kukamatwa na kilo 1.1 za heroin nchini China,
mrembo
Jackie Cliff kwa sasa anasubiria hatima yake kutokana na kosa hilo la
kusafirisha madawa ya kulevya. Ikiwa nchini humo kuna adhabu tofauti za
kuwahukumu watu wanao jihusisha na madawa ya kulevya.
Baadhi
ya adhabu ni kifungo cha kuanzia miaka mitatu mpaka kumi na tano (3-15)
na adhabu hii hutolewa katika mji wa Macau ambapo mrembo Jackie Cliff…
Lakini kwa upande mwingine kuna adhabu ya kuhukumiwa kunyongwa au
kifungo cha maisha katika miji mingine na pia hutegemea na aina za dawa
za kulevya na uzito wa mzigo aliokamatwa nao mtuhumiwa.
Kupitia
Personal Message ya BBM aliyoiandika mwana dada Jackie Cliff inayosema
… ” Ikitokea nimekufa wosia Martin Kadinda ana maagizo ya nini cha
kufanya … dnt ask pls.” inasemekana kuwa kama mrembo huyo atashindwa
kujikwamua katika tatizo hilo basi, rafiki yake wa karibu ana maagizo
yote ya nini cha kufanya kama yeye hatokuwepo tena
No comments:
Post a Comment