Saturday, December 21, 2013

KAMA HUKUISOMA HII INAKUHUSU.BASI LA TAQWA LILIVONUSURIKA KUWAKA MOTO.

Basi la Taqwa lililokuwa na zaidi ya abiria 60 ambao wamenusurika kupoteza maisha yao baada ya basi hilo walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es salaam kupitia mjini Ngara kueleke Jijini Bujumbura nchini Burundi kunusurika kuwaka moto wilayani Ngara Mkoani Kagera.

Basi la abiria la Kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 964 BHS aina ya SCANIA likiwa limenusurika kuteketea juzi ( Desemba 18,2013) majira ya saa tano asubuhi katika eneo la Mkajagali kijiji cha Kumuyange, nje kidogo ya mji wa Ngara.

No comments:

Post a Comment