walianza kwa maandamano wote kwa pamoja akiwemo mwenyekiti mwenyewe wa chama na viongozi wengine wa chama cha mapinduzi.
maandamano yakiendelea yakiongozwa na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mwenyekiti na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano akiwapungia mkono wananchi wa Kigoma.
viongozi wa juu wa UVICCM taifa
Mke wa mwenyekiti wa CCM taifa mama Slma Kikwete akiwasalimia wananchi wa mkoa wa Kigoma.
No comments:
Post a Comment