Monday, February 4, 2013

YALIYOJIRI KIGOMA NA MIAKA 36 YA CCM.

Haya ndio yaliyojiri Mkoani Kigoma kwenye maadhimisho ya miaka 36 ya chama cha mapinduzi CCM yaliyoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Ndugu Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.mambo yalianza hivi;
walianza kwa maandamano wote kwa pamoja akiwemo mwenyekiti mwenyewe wa chama na viongozi wengine wa chama cha mapinduzi.
maandamano yakiendelea yakiongozwa na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 
Mwenyekiti na Raisi wa Jamuhuri ya Muungano akiwapungia mkono wananchi wa Kigoma.
viongozi wa juu wa UVICCM taifa 



Mke wa mwenyekiti wa CCM taifa mama Slma Kikwete akiwasalimia wananchi wa mkoa wa Kigoma.









No comments:

Post a Comment