Uchumba wa Kitale na bibie huyu ni wa muda mrefu kwani toka shule ya msingi wako pamoja na kufanikiwa kumpata mtoto mmoja waliempa jina la Hemed.
Picha na Saluti5
katika pozi Kitale na malkia wake.
mwanadada Fatuma akitia saini ya kuthibitisha kua ndoa hio ni halali..
Mungu ailinde ndoa yako ndugu Kitale kwa kumaliza hatua mmoja ya maisha ya binadamu.
baba mzazi wa Kitale.
Bi.Fatuma akiwa na mtoto wao Hemed.
No comments:
Post a Comment