Friday, February 8, 2013

LEO NDANI YA KAWE NA FM ACADEMIA.

Wazee wa ngwasuma kwa jina la bendi ni FmAcademia,leo wanategemea kutambulisha nyimbo zao kadhaa zilizomo kwenye album yao mpya inayojulikana kwa jina la ''chuki ya nini'',uzinduzi huu wa hizi nyimbo kadhaa utafanyika ndani ya ukumbi wa Masae view Garden uliopo ndani Kawe ambayo wanategemea kuizindua mapema mwaka huu.
Akiongea na Mautundu supplyer kwa njia ya simu,msemaji wa Fm academia bwana Kelvin Mkinga amesema kua leo wataachia silaha zao zote zilizoko kwenye album yao mpya ambao itakuja kutambulishwa hapo baadae.

Wanenguaji wa Fm academia.

No comments:

Post a Comment