Friday, February 8, 2013

AMA ZAKE AMA ZANGU KWA ATAKAEMFANYIA LULU SHEREHE.

Msaniii wa filamu nchini Munah ,ameweza kuelezea kwamba yeyote ambae ambae anataka kumfanyia sherehe msanii mwenzake Elizabeth Michael alimaarufu LULU,yukoayari kwa lolote mara baada ya msanii huyo kurejea mtaani kwa dhamana.Na Munah kasema hayo baada ya kusikia kua kuna watu na wasanii wengine wanaotaka kumfanyia sherehe msanii huyo.Munah ambae amechangia kwa asilimia kubwa kwa mchango wake mpaka lulu kua nje kwa dhamana hio.
Wakati anaongea na Mautundu supplyer Munah alisema haya ''Ama zake au ama zangu kwa yule ambae anataka kumfanyia Lulu sherehe,maana alipokua segerea hawakupata muda wa kwenda kumuona ila leo yuko mtaani,eti wanataka kumfanyia  yao kwenda segerea ntaenda mimi.''Alisema Munah.
Munah.

No comments:

Post a Comment