Friday, January 25, 2013

DIAMOND AWACHANGANYA MASHABIKI WAKE.

Mapenzi ni lugha ambayo kila nafsi lazima itaiongea aidha kwa nyakati tofauti.Haya ndio mapenzi yaliyopelekea mashabiki wa msanii maarufu nchini Tanzania Diamond a.k.a asali ya mabinti/warembo na majina mengi aliyopewa kutokana na kua karibu nao hasa kimahusiano,hali iliopelekea kupachikwa majina hayo.Pamoja na hayo yote kujiri imezidi kuwachanganya mashabiki wake hasa pale alipoonekana kalala na mwanadada mmoja aitwae kwa jina la Penny kisa kilichozua gumzo katika mtandao wa kijamii wa facebook.
Mambo ya facebook yalikua hivi hasa katika mdahalo juu ya Diamond;


No comments:

Post a Comment