ISAYA
54:14 Utathibitika katika haki utakua mbali na kuonewa, kwa maana
hutoogopa, na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.Tazama, yamkini
watakusanyana , lakini si kwa shauri langu watu wowote watakaokusanyana
juu yako wataanguka kwa ajili yako.
No comments:
Post a Comment