chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema
baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika
kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya
shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba
amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa
kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya
kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao
Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless
Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na
Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
No comments:
Post a Comment