Monday, February 11, 2013

PAPA BENEDICT WA 16 AOMBA KUSTAAFU.

Papa Benedict wa 16 ameomba kustaafu mara baada ya hali yake kiafya kutokumudu shughuli za utendaji wake kua chini.Hayo yamesemwa na msemaji mkuu kutoka huko makao makuu ya kanisa hili kuwepo nchini Italia.
Benedict wa 16 ni miongoni mwa mapapa ambao waliowahi kuomba kustaafu wenyewe kutoka na sababu zilizo nje ya uwezo wao,papa huyu amekua wa pili kuomba kujiuzulu nyadhifa hio.Papa mwenye miaka 85 mpaka sasa ameweza kukaa na kutenda kazi zote za kipapa toka aprili 2005 mpaka hii leo ambapo kasema rasmi.

No comments:

Post a Comment