Friday, February 8, 2013

KIM KARDASHIAN KUBADILI JINA.

Kanye West amwambia mpenzi wake ambae pia ana ujauzito wake mwanadada Kim Kardashian abadili jina lake kutoka lilivokua Kim Krdashian na kuitwa Kim West,mara baada ya kuanza michakato ya kufunga pingu za maisha.
Kim aliweza kukubali kuchukua na kua analitumia jina hilo pia alitaka mwanao ambae nae Kim alidai aitwe ivo pia kwa mujibu wa jarida la Star.
Lakin Kim aliendelea kumwambia Kanye West kua hata nikiwa natumia jina lako bado ntabaki kua Kardishian,kauli hio ilimdhoofisha Rapa huyo na kumtaka Kim aifute kauli hio lakin aligoma kuifutaPia Kim aliamua kumwambia hivo Kanye ili pia atambue kua hayuko nae kwa kigezo cha pesa anazomiliki rapa huyo.

No comments:

Post a Comment