Basi
la Taqwa lililokuwa na zaidi ya abiria 60 ambao wamenusurika kupoteza
maisha yao baada ya basi hilo walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es
salaam kupitia mjini Ngara kueleke Jijini Bujumbura nchini Burundi
kunusurika kuwaka moto wilayani Ngara Mkoani Kagera.
Basi
la abiria la Kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 964 BHS aina ya
SCANIA likiwa limenusurika kuteketea juzi ( Desemba 18,2013)
majira ya saa tano asubuhi katika eneo la Mkajagali kijiji cha
Kumuyange, nje kidogo ya mji wa Ngara.