Sunday, March 17, 2013

HATA YA PAGE YAKO YA FACEBOOK BAADA YA KIFO NI NINI,SOMA HAPA.

Habari na Dr.Paul Masua
Hujafa hujaumbika. Kifo ndio hatma ya uhai. Kuna mambo mengi binadamu anaweza kuepuka.Lakini si kifo. Hata usipofariki kwa maradhi au ajali;umri je? Kifo ni sheria.

Dini zinatufundisha kujiandaa kiroho.Tuwe tayari. Maana kifo hakina saa wala dakika.Kifo hakibagui. Tajiri au maskani,kijana au mzee,mcha Mungu au mdhambi wote hatma yao ni moja. Kifo. Usipokufa leo,utakufa kesho.
Facebook.  Kwa sasa mtandao huu wa kijamii unawatumiaji zaidi ya bilioni moja duniani kote. Watu wa rika,nyadhifa,uwezo,elimu na dini mbalimbali wanatumia Facebook. Idadi hii ikiongozwa na vijana na watu wenye umri wa kati. Hawa ndio wapenzi zaidi wa facebook.
Wapendwa wetu wako wapi. Baadhi  ya ndugu,jamaa na marafiki waliokuwa wanatumia facebook leo hawapo. Wamefariki. Hatutawaona tena. Kuna wengine tuliwasiliana nao kupitia facebook,wengine waliacha ujumbe. Wengine maneno ya huzuni. Tena  masaa machache kabla ya vifo vyao. Hakika tunawakumbuka. Tunawaombea wapumzike kwa amani.
Mara chache watumiaji wa facebook huweza kuchangia maneno yao ya siri na watu wengine. Hivyo baada ya kifo hakuna mtu mwingine anayeweza kutumia ukarasa ule wa facebook.
Kurasa zao za facebook ziko wazi. Zingine zinaendelea kutumika. Zingine zinatumika pasipo kihalali. Baadhi ya wadhalimu wanatumia kurasa hizo kuandika maneno ya kashifa na dhihaka. Dhihaka hata baada ya kifo. Hakika huu ni udhalimu.
Fikiria ni nini ufanye. Wosia. Unaweza kuweka neno lako la siri katika wosia? Je ni busara kurithisha neno lako la siri? Au unaweza kuchangia neno lako la siri na mama mzazi kama yupo hai.
Hata hivyo kufuatia kukua na kupanuka kwa mitandao ya kijamii ni vyema serikali kuweka sheria. Sheria zinazosimamia matumizi ya mitandao ya kijamii. Hii itasaidia kuondoa pengo lililopo. Hasa baada ya kifo cha mtumia

SHANGAZI YANGU ANANISAGA KILA MARA.NAOMBENI USHAURI WENU.

Mimi naitwa NASRA na nina mika 24, hilo nalileta kwenu jambo lango wana-Udakuz naomba mnisaidie ushauri ili niwe kutatua tazizo hili linalonikabili hapa chini:

Baada ya mama yangu kufariki 2001 kuna shangazi yangu (ambaye ni mke wa mjomba wangu) alinichukua kwa minajil ya kunilea na kunisomesha ila amekuwa AKINISAGA tokea niko mdogo mpaka sasa! ambapo nikiwa mdogo wakati nimelala nilikuwa nashtuka yupo juu yangu na mimi nipo UCHI huku ananinyonya MATITI na sehemu nyingine za mwili na baadae alikuwa anapanda juu yangu na kunilalia huku akifanya vitu fulani mpaka ananimwagia vitu fulani katika sehemu zangu za siri na kuniambia ninyamaze nisimwambie mjomba "eti atanipa pesa ya kutumia shule na kunipeleka na gari, alipokuwa akimaliza baadae alikuwa akiniogesha na kuninunulia vitu VITAMUTAMU. Nilinyamaza maana sikujua jambo lile ila aliendelea kila mara mchezo wake huo.

Mpaka sasa Nimekuwa Lakini anaendelea mchezo huo na mimi nimeshajua na sometimes nasikia raha ila roho yangu haitaki kabisa mchezo huo , huwa naumia sana ...nataka niwe msichana wa kawaida ni date na wavulana na nisikie raha napokuwa na mvulana.....naombeni ushauri...

 

HUYU NDO JOKATE NDANI YA COVER YA BABKUBWA.

She is a multi-talented lady, Jokate who is a designer,model,presenter, actress,Mc  is the cover girl for popular magazine "BaabKubwa magazine"

LULU AMLILIA KANUMBA.

Wakati zikiwa zimebaki wiki chache tu hadi kifo cha Stephen Kanumba kitimize mwaka mmoja, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael aka Lulu kwa mara ya kwanza leo ameandika ujumbe kuhusiana na jinsi anavyomkumbuka.

Lulu aliachiwa kwa dhamana mwezi January mwaka huu baada ya kukaa mahabusu kwa takriban miezi minane kufuatia kukamatwa kwa kuhusika na kifo cha Kanumba.
Lulu ambaye hivi karibuni amekuwa akitweet mara kwa mara ameandika:

Ulikuwa zaidi ya baba,kaka,mpenzi,mume,ndugu,rafiki….sitoacha kukulilia katika maisha yangu yote!!R.I.P daddy angu STEVEN KANUMBA.”

Akiambatanisha na picha ya Kanumba, Lulu ameongeza, “I will alwayz love u daddy angu!”

Unaweza kumfollow Elizabeth Michael ‏Twitter kwa jina la @hotlulumichae