Hali ndivo ilikua kwenye mji wa Masasi huko mtwara mara baada ya wananchi kufanya hiki kitendo kwa madai yao bimafsi na sababu ambazo ziko mikononi mwao.Aidha katika ghasia hizo walizozifanya ni pamoja na kuchoma na kuvunja vioo nyumba ya mbenge Mh.Hawa Gasia ikiwa imeteketezwa na wananchi hao wenye hasira zao
Ikiwa ni baadhi ya nyaraka zilizoteketea kwa moto pamoja na picha za nyumba yake inavoonekana mara baada ya kuharibiwa na wananchi.
Ikiwa ni baadhi ya nyaraka zilizoteketea kwa moto pamoja na picha za nyumba yake inavoonekana mara baada ya kuharibiwa na wananchi.